Tuesday, September 30, 2014

Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani



Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakianza matembezi ya hisani ya takribani Kilomita 10 jijini Dar es Salaam ikiwa ni moja ya matukio ya benki hiyo kudhimisha Siku ya Moyo Duniani ambapo kiasi cha pesa watakachochangisha kitapelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kusaidia watoto na vijana wanaosumbuliwa na matatizo ya ugonjwa wa moyo. Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa kimataifa Septemba 29 kila mwaka.

Baadhi ya wafanyakazi hao wakipita katika barabara ya Ocean Road kulekea maeoneo ya Coco Beach wakitokea makao makuu ya beni hiyo katika Tawi la Corporate, Posta Mpya.

Wafanyakazi hawa wa NBC wakiendelea na matembezi hayo ili kupata fedha kusaidia watoto na vijana wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo.


 Baada ya kumaliza matembezi hayo wafanyakazi hao wakipiga picha ya pamoja kuonyesha ushindi na mshikamano wao katika kusaidia watoto na vijana wanaosumbuliwa na matatizo ya magonjwa ya moyo.  

Related Posts:

  • Washington set to boost EAC trade The United States says it will support the East African Community (EAC) to overcome trade barriers and improve competitiveness of its export products in the international markets. This follows a Cooperation Agreemen… Read More
  • Benki ya Exim yakarabati kituo cha watoto wenye ulemavu Morogoro Meneja wa Benki ya Exim Tawi la Morogoro, Bi Anna Wesiwasi (wapili kulia) akipeana mkono na Mkurugenzi wa Kituo cha Amani cha watoto wenye ulemavu, Padri Beatus Sewando (watatu kulia) mara tu baada ya kuzindua jengo la ki… Read More
  • Poor Children Increasing Not many people know that enlisting child labour is a crime that attracts a one-year jail term or heavy fine. Most child labourers are made to toil for hours in the hot sun, many of them on empty stomachs. The meagre earni… Read More
  • Dar Charity Goat Races launches in Dar today Southern Sun Hotel Sales Manager, Punim Kanabar (2nd L) speaking to journalists on her hotel sponsorship towards this year Dar Charity Goat Races scheduled for May 30th this year in Dar es Salaam. It wa… Read More
  • BRN Report: Education tops other sectors Prime Minister Mizengo Pinda unwraps the Big Result Now Report for 2013/0214 at a ceremony held yesterday in Dsm. With him are President's Delivery Bureau Chief Executive Officer Omar Issa. The education sector has surpa… Read More

0 comments:

Post a Comment