Monday, September 15, 2014

Wafanyakazi wa benki ya NBC wajimwagia maji baridi kuchangiha fedha kupambana na Ugonjwa wa Fistula

Mkuu wa Rasilimali Watu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Flora Lupembe (kulia) akimwagiwa maji baridi na Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Rukia Mtingwa katika hafla ya kumwagiana maji baridi iitwayo ‘Ice Bucket Challenge’ yenye makusudi ya kuchangisha fedha kwa ajili kusaidia wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa wa fistula. Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mhazini Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Ivan Tarimo (kushoto) akimwagiwa maji baridi na mmoja wa mfanyakazi mwenzake katika hafla ya kumwagiana maji baridi iitwayo ‘Ice Bucket Challenge’ yenye makusudi ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa wa fistula. Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Mussa Jallow (katikati) naye akimwagiwa maji baridi ili kutimiza azma ya benki hiyo katika kutafuta fedha ili kusaidia wanawake wanaosumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa fistula nchini.


Mkuu wa Kitengo cha Mikopo Binafsi na biashara ndogondogo na za kati, Isidori Msaki (katikati) akijitahidi kujizuia wakati wafanyakazi wenzake wakimmwagia ndoo za maji baridi katika hafla hiyo.
kaimu ofisa mwendeshaji mkuu wa benki ya nbc, Jamie Loden akijimwagia maji baradi ili kusaidia harakati za benki hiyo kuchangisha fedha katika tukio hilo liitwalo ‘Ice Bucket Challenge’ kusaidia wanawake wanaokabiliwa na ugonjwa wa fistula. Kiasi cha fedha kitakachopatika kitapelekwa katika Hospitali ya CCBRT kwa madhumuni hayo.
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya NBC, Jaffari Matundu (kushoto) akimwagiwa maji na mfanyakazi mwenzake katika tukio la Ice Bucket Challenge lenye lengo la kukusanya fedha kusaidia wanawake wanaosumbulia na ugonjwa wa fistula.
Unaweza kuona kama mzaha Fulani lakini ndivyo ilivyokuwa kwa maofisa hawa wa NBC walipoamua kushiriki tukio la ‘Ice Bucket Challenge’ na kumwagiana maji baridi ili kuchangisha fedha kusaidia wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa wa fistula nchini.

Related Posts:

  • NMB supports Hai flood victims NATIONAL Microfinance Bank (NMB), a has donated different items worth 10m/- to flood victims in Hai in Kilimanjaro Region which left dozens of people homeless. The flood follows heavy rain which has pounded the country las… Read More
  • World Bank approves USD45m for small scale miners The World Bank Group's Board of Executive Directors has approved a new US$45 million credit for Tanzania to improve the socioeconomic impact of large and small-scale mining. A WB statement a… Read More
  • Over Sh1bn saved as 66 children undergo heart surgery at MNH Minister for Health and Social Welfare Dr Seif Rashid shakes hands with Cherish Chatama at Muhimbili National Hospital’s Cardiac Centre yesterday. The child underwent a successful heart surgery this week. Looking … Read More
  • Fishermen want government intervention to increase income. Small-scale fishermen around Lake Victoria have raised concern over low fish prices set by fishing agents saying the government need to intervene to enable them raise their income.  They claimed that lack of offic… Read More
  • Police call centre launched Home Affairs Minister Mathias Chikawe yesterday launched a police-public call centre aimed at enhancing communication between the two sides in times of emergency as well as curb crimes by reporting cases before they happen… Read More

0 comments:

Post a Comment