Monday, September 15, 2014

Wafanyakazi wa benki ya NBC wajimwagia maji baridi kuchangiha fedha kupambana na Ugonjwa wa Fistula

Mkuu wa Rasilimali Watu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Flora Lupembe (kulia) akimwagiwa maji baridi na Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Rukia Mtingwa katika hafla ya kumwagiana maji baridi iitwayo ‘Ice Bucket Challenge’ yenye makusudi ya kuchangisha fedha kwa ajili kusaidia wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa wa fistula. Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mhazini Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Ivan Tarimo (kushoto) akimwagiwa maji baridi na mmoja wa mfanyakazi mwenzake katika hafla ya kumwagiana maji baridi iitwayo ‘Ice Bucket Challenge’ yenye makusudi ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa wa fistula. Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Mussa Jallow (katikati) naye akimwagiwa maji baridi ili kutimiza azma ya benki hiyo katika kutafuta fedha ili kusaidia wanawake wanaosumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa fistula nchini.


Mkuu wa Kitengo cha Mikopo Binafsi na biashara ndogondogo na za kati, Isidori Msaki (katikati) akijitahidi kujizuia wakati wafanyakazi wenzake wakimmwagia ndoo za maji baridi katika hafla hiyo.
kaimu ofisa mwendeshaji mkuu wa benki ya nbc, Jamie Loden akijimwagia maji baradi ili kusaidia harakati za benki hiyo kuchangisha fedha katika tukio hilo liitwalo ‘Ice Bucket Challenge’ kusaidia wanawake wanaokabiliwa na ugonjwa wa fistula. Kiasi cha fedha kitakachopatika kitapelekwa katika Hospitali ya CCBRT kwa madhumuni hayo.
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya NBC, Jaffari Matundu (kushoto) akimwagiwa maji na mfanyakazi mwenzake katika tukio la Ice Bucket Challenge lenye lengo la kukusanya fedha kusaidia wanawake wanaosumbulia na ugonjwa wa fistula.
Unaweza kuona kama mzaha Fulani lakini ndivyo ilivyokuwa kwa maofisa hawa wa NBC walipoamua kushiriki tukio la ‘Ice Bucket Challenge’ na kumwagiana maji baridi ili kuchangisha fedha kusaidia wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa wa fistula nchini.

Related Posts:

  • EAC, USAID launch project on Cross-Border Health Integrated Partnership Karen Freeman, USAID/Kenya and East Africa Mission Director. A five-year project on Cross-Border Health Integrated Partnership (CB-HIPP) has been established to extend integrated health services in strategic bor… Read More
  • Farmers reap from ICT development Vodafone yesterday published its Connected Farming in India report which concludes that the introduction of six simple mobile services designed to help small-scale farmers in emerging markets could boost the farm gate inc… Read More
  • Tax breaks cost nation billions every year Controller and Auditor General, Prof Mussa Juma Assad,  Tanzania loses billions of shillings every year in unwarranted tax exemptions to foreign companies, Controller and Auditor General Prof Mussa Juma Assad told… Read More
  • New drive to boost science learning in public schools Powering Potential Organisation officials accompanied by their country director Albin Mathias (left) listen to President Jakaya Kikwete when he visited the organisation’s pavilion at the climax of the Education Week held… Read More
  • 17 refugees die of cholera Seventeen Burundian refugees being accommodated in Kigoma Region have died from an outbreak of cholera and several others appear to be trapped in a health crisis arising from poor sanitation in the temporary camps. Ei… Read More

0 comments:

Post a Comment