Friday, September 12, 2014

AMREF NA KCB ZASHIRIKIANA KATIKA ELIMU ZA WAKUNGA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir akimsikiliza kwa makini  Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,  jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akiongerea  juu ya ushirikiano wao na benki hiyo  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na mtoto nchini.
 Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir  akimkabidhi  Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,  hundi yenye thamani ya shilingi milioni 48. Kwa ajili ya kuwasomesha wakunga 10 ambao baada ya kupata elimu wataajiriwa katika vituo vya afya hasa vijijini ili kuwasaidia akinamama wanaohitaji huduma za uzazi.KCB na AMREF wametangaza ushirikiano  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na mtoto nchini, hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam, wapili kutoka kushoto ni  Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB  Christina Manyenye na Meneja msimaizi wa mifuko wa jamii  wa Amref Lilian Nsemwa.( fund Raising Manager)



 Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,  akisisitiza jambo  kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani)wakati alipokuwa akiongelea  juu ya ushirikiano wao na benki KCB Tanzania  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na motto nchini .Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania Moezz Mir   na Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB  Christina Manyenye wakimsikiza  kwa makini.
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya KCB Tanzania Moezz Mir   akiongele juu ya ushirikiano wao na Amref Heath Africa Tanzania  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na motto nchini Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,   na Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB  Christina Manyenye

Related Posts:

  • “Ageing well” must be a global priority A major new Series on health and ageing, published in "The Lancet", warns that unless health systems find effective strategies to address the problems faced by an ageing world population, the growing burden of chronic … Read More
  • Lake Zone schools top Std Seven exam Even though the individual school honours went to the Lake Zone, Dar es Salaam came first in the overall regional ranking followed in second position by Kilimanjaro and Mwanza in third position.  Eight private scho… Read More
  • Why chronic diseases top list of major killers in TZ Priority should be given to developing and implementing preventive interventions based on an action plan for the NCD strategy, bearing in mind interventions that have been shown to be effective Despite a wide range of p… Read More
  • Shule Direct is now available on Internet.org  Facebook Head of Growth and Partnerships Mr. Nahid Hirji, and Tigo Head of Data and Devices Mr. David Zacharia. (sitting from left)   (from left standing)  Shule Direct Chief Technical … Read More
  • Tanzanian Government Urged to Set Marriage Age Campaigning for a child marriage-free Tanzania. Child marriage in Tanzania limits girls' access to education and exposes them to serious harms, Human Rights Watch said in a report released today. Human Rights Watch d… Read More

0 comments:

Post a Comment