Friday, September 12, 2014

AMREF NA KCB ZASHIRIKIANA KATIKA ELIMU ZA WAKUNGA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir akimsikiliza kwa makini  Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,  jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akiongerea  juu ya ushirikiano wao na benki hiyo  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na mtoto nchini.
 Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir  akimkabidhi  Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,  hundi yenye thamani ya shilingi milioni 48. Kwa ajili ya kuwasomesha wakunga 10 ambao baada ya kupata elimu wataajiriwa katika vituo vya afya hasa vijijini ili kuwasaidia akinamama wanaohitaji huduma za uzazi.KCB na AMREF wametangaza ushirikiano  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na mtoto nchini, hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam, wapili kutoka kushoto ni  Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB  Christina Manyenye na Meneja msimaizi wa mifuko wa jamii  wa Amref Lilian Nsemwa.( fund Raising Manager)



 Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,  akisisitiza jambo  kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani)wakati alipokuwa akiongelea  juu ya ushirikiano wao na benki KCB Tanzania  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na motto nchini .Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania Moezz Mir   na Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB  Christina Manyenye wakimsikiza  kwa makini.
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya KCB Tanzania Moezz Mir   akiongele juu ya ushirikiano wao na Amref Heath Africa Tanzania  katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na motto nchini Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa  Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako,   na Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB  Christina Manyenye

Related Posts:

  • NMB supports Hai flood victims NATIONAL Microfinance Bank (NMB), a has donated different items worth 10m/- to flood victims in Hai in Kilimanjaro Region which left dozens of people homeless. The flood follows heavy rain which has pounded the country las… Read More
  • Fishermen want government intervention to increase income. Small-scale fishermen around Lake Victoria have raised concern over low fish prices set by fishing agents saying the government need to intervene to enable them raise their income.  They claimed that lack of offic… Read More
  • Over Sh1bn saved as 66 children undergo heart surgery at MNH Minister for Health and Social Welfare Dr Seif Rashid shakes hands with Cherish Chatama at Muhimbili National Hospital’s Cardiac Centre yesterday. The child underwent a successful heart surgery this week. Looking … Read More
  • Police call centre launched Home Affairs Minister Mathias Chikawe yesterday launched a police-public call centre aimed at enhancing communication between the two sides in times of emergency as well as curb crimes by reporting cases before they happen… Read More
  • World Bank approves USD45m for small scale miners The World Bank Group's Board of Executive Directors has approved a new US$45 million credit for Tanzania to improve the socioeconomic impact of large and small-scale mining. A WB statement a… Read More

0 comments:

Post a Comment