Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(kulia), akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani yashilingi milioni 4.5/-, kupitia Mradi wa ‘Airtel Shule Yetu’ kwaMwakilishi wa Afisa Elimu ya Sekondari Manispaa ya Temeke, YasinthaKayoza kwa niaba ya shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvuti naKambangwa katika hafla iliyofanyika kwenye Shule ya Sekondari yaMbagala jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa Shule yaSekondari ya Mbagala, Mwalimu Marcelina Kimario.Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(mwenye miwani), akiangalia moja ya vitabu vya masomo ya sayansi baadaya kuvikabidhi vitabu vyenye thamani ya milioni 4.5/-, kupitia Mradiwa ‘Airtel Shule Yetu’ kwa shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvutina Kambangwa katika hafla iliyofanyika kwenye Shule ya Sekondari yaMbagala jijini Dar es Salaam jana.
Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(kulia), akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani yamilioni 1.5/-, kupitia Mradi wa ‘Airtel Shule Yetu’ kwa Mkuu wa Shuleya Sekondari ya Mbagala, Mwalimu Marcelina Kimario katika haflailiyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam jana. Sekondarinyingine zilizokabidhiwa vitabu hivyo ni pamoja na Mvuti na Kambangwa.Kushoto ni Mwakilishi wa Shule ya Sekondari Kambangwa, Mwalimu SueibaMfinanga.Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mbagala wakifurahia vitabu vyamasomo ya sayansi, baada ya Kampuni ya Airtel kupitia Mradi wake wa‘Shule Yetu’ kukabidhi vitabu hivyo vyenye thamani ya milioni 4.5/-kwa shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvuti na Kambangwa katikahafla iliyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam jana.
“Ageing well” must be a global priority
A major new Series on health and ageing, published in "The Lancet", warns that unless health systems find effective strategies to address the problems faced by an ageing world population, the growing burden of chronic …Read More
Why chronic diseases top list of major killers in TZ
Priority should be given to developing and implementing preventive interventions based on an action plan for the NCD strategy, bearing in mind interventions that have been shown to be effective
Despite a wide range of p…Read More
Vodacom, Partners Vow Support to Farmers
THOUSANDS of smallholder farmers are to receive support to improve their incomes through Information and Communications Technology (ICT), through a service sponsored by Vodacom and its several partners launched known as K…Read More
Climate Change Conference Kicks Off in Dar es Salaam
Some of the world’s leading experts on Climate Change have joined the country’s decision makers and opinion leaders gathered today in Tanzania’s business capital to participate in a major two-day conference to deliberat…Read More
ICTR closes business after spending Sh3.4tr
The mandate of the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR) ends in December, with the court having spent Sh3.4 trillion ($2 billion) to try about 50 genocide cases, or roughly $100 million annually.
But wh…Read More
0 comments:
Post a Comment