Thursday, September 11, 2014

AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU KWA SHULE ZA SEKONDARI DAR


????????Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(kulia), akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani yashilingi milioni 4.5/-, kupitia Mradi wa ‘Airtel Shule Yetu’ kwaMwakilishi wa Afisa Elimu ya Sekondari Manispaa ya Temeke, YasinthaKayoza kwa niaba ya shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvuti naKambangwa katika hafla iliyofanyika kwenye Shule ya Sekondari yaMbagala jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa Shule yaSekondari ya Mbagala, Mwalimu Marcelina Kimario.????????Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(mwenye miwani), akiangalia moja ya vitabu vya masomo ya sayansi baadaya kuvikabidhi vitabu vyenye thamani ya milioni 4.5/-,  kupitia Mradiwa ‘Airtel Shule Yetu’ kwa shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvutina Kambangwa katika hafla iliyofanyika kwenye Shule ya Sekondari yaMbagala jijini Dar es Salaam jana.


????????Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(kulia), akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani yamilioni 1.5/-, kupitia Mradi wa ‘Airtel Shule Yetu’ kwa Mkuu wa Shuleya Sekondari ya Mbagala, Mwalimu Marcelina Kimario katika haflailiyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam jana. Sekondarinyingine zilizokabidhiwa vitabu hivyo ni pamoja na Mvuti na Kambangwa.Kushoto ni Mwakilishi wa Shule ya Sekondari Kambangwa, Mwalimu SueibaMfinanga.????????Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mbagala wakifurahia vitabu vyamasomo ya sayansi, baada ya Kampuni ya Airtel kupitia Mradi wake wa‘Shule Yetu’ kukabidhi vitabu hivyo vyenye thamani ya milioni 4.5/-kwa shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvuti na Kambangwa katikahafla iliyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam jana.

Related Posts:

  • “Ageing well” must be a global priority A major new Series on health and ageing, published in "The Lancet", warns that unless health systems find effective strategies to address the problems faced by an ageing world population, the growing burden of chronic … Read More
  • Why chronic diseases top list of major killers in TZ Priority should be given to developing and implementing preventive interventions based on an action plan for the NCD strategy, bearing in mind interventions that have been shown to be effective Despite a wide range of p… Read More
  • Vodacom, Partners Vow Support to Farmers THOUSANDS of smallholder farmers are to receive support to improve their incomes through Information and Communications Technology (ICT), through a service sponsored by Vodacom and its several partners launched known as K… Read More
  • Climate Change Conference Kicks Off in Dar es Salaam Some of the world’s leading experts on Climate Change have joined the country’s decision makers and opinion leaders gathered today in Tanzania’s business capital to participate in a major two-day conference to deliberat… Read More
  • ICTR closes business after spending Sh3.4tr The mandate of the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR) ends in December, with the court having spent Sh3.4 trillion ($2 billion) to try about 50 genocide cases, or roughly $100 million annually. But wh… Read More

0 comments:

Post a Comment