Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(kulia), akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani yashilingi milioni 4.5/-, kupitia Mradi wa ‘Airtel Shule Yetu’ kwaMwakilishi wa Afisa Elimu ya Sekondari Manispaa ya Temeke, YasinthaKayoza kwa niaba ya shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvuti naKambangwa katika hafla iliyofanyika kwenye Shule ya Sekondari yaMbagala jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa Shule yaSekondari ya Mbagala, Mwalimu Marcelina Kimario.Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(mwenye miwani), akiangalia moja ya vitabu vya masomo ya sayansi baadaya kuvikabidhi vitabu vyenye thamani ya milioni 4.5/-, kupitia Mradiwa ‘Airtel Shule Yetu’ kwa shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvutina Kambangwa katika hafla iliyofanyika kwenye Shule ya Sekondari yaMbagala jijini Dar es Salaam jana.
Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi(kulia), akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani yamilioni 1.5/-, kupitia Mradi wa ‘Airtel Shule Yetu’ kwa Mkuu wa Shuleya Sekondari ya Mbagala, Mwalimu Marcelina Kimario katika haflailiyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam jana. Sekondarinyingine zilizokabidhiwa vitabu hivyo ni pamoja na Mvuti na Kambangwa.Kushoto ni Mwakilishi wa Shule ya Sekondari Kambangwa, Mwalimu SueibaMfinanga.Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mbagala wakifurahia vitabu vyamasomo ya sayansi, baada ya Kampuni ya Airtel kupitia Mradi wake wa‘Shule Yetu’ kukabidhi vitabu hivyo vyenye thamani ya milioni 4.5/-kwa shule tatu za sekondari za Mbagala, Mvuti na Kambangwa katikahafla iliyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam jana.
Unlocking the Potential of the Tourism Industry for Tanzanians
More than 1 million tourists visited Tanzania’s world-class tourist attractions in 2013, including Mount Kilimanjaro, the wildebeest migration in Serengeti and the warm beaches of Zanzibar, making tourism a strong driver …Read More
Agriculturalists to release Acts in lay language
Agricultural Non-State Actors Forum (ANSAF)
Agricultural stakeholders have resolved to produce popular simplified versions of Warehouse Receipt System Act 2005 and Cooperative Societies Act 2013, print for wider dissem…Read More
German President, First Lady in Dar
The President of the Federal Republic of Germany Joachim Gauck and Germany’s First Lady Daniela Schadt are in Dar es Salaam on a four-day state visit to Tanzania.
While in the commercial port city, President Gauck wil…Read More
Immunization Saves Millions of Kids
President Jakaya Kikwete has hailed the Global Alliance for Vaccines and Immunization (GAVI) for its initiatives on immunization, saying the move has made immunization possible to 370 million children in developing cou…Read More
0 comments:
Post a Comment